Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

DIWANI WA CHADEMA AFUKUZWA UANACHAMA KWA TUHUMA ZA RUSHWA

TANGAZO 1
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilayani Temeke Imemvua uanachama Diwani wake wa kata ya Kurasini Matiti Claudian Togocho ambae pia alikuwa m/kiti wa serikali ya Mtaa wa mivinjeni kurasini jijini dsm kwa tuhuma mbali mbali zikiwemo za ubadhilifu na kutumia madaraka yake vibaya dhidi ya wananchi waliokuwa wanahamishwa baada ya vyumba zao kununuliwa ili kupicha miradi mikubwa ya maendeleo.
M/kiti wa Chadema wilayani Temeke Bernad Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari wamesema Chadema imechukua hatua hiyo baada ya kudai kufanya Uchunguzi wa kina na kupata Uthibitisho Usiotia Shaka dhidi ya tuhuma zinazomkabili diwani huyo huku pia ikiwaonya madiwani wake na wenyeviti wa serikali za mitaa kuwatumikia wananchi na sio kushiriki katika Vitendo vya Dhulma na Ubadhilifu.
Baaadhi ya wananchi walipatwa na kadhia ya kuvunjiwa nyumba zao lakini pia kutapeliwa kwa kuuzwa maeneo yao,pamoja na kutengenezewa hati bandia wanaelezea madhara waliyopata.
Jitihada za kumpata Diwani wa Mvinjeni ambae anayetuhumiwa hazikuzaa matunda baada ya kupigiwa simu mara kadhaa na mwandishi wetu bila kupokea,pamoja na kutumiwa ujumbe mfupi lakini pia Chanel ten ilifika kurasini katika ofisi ya serikali ya mtaa,ambapo pia ilikutana na bw,Steven Kyando ambaye naye anatuhumiwa na hivi ndivyo alivyojitetea.

Katika eneo lililofanyika zoezi la kubomoa nyumba hizo ambazo wakazi wake wngi wamekubali kulipwa fidia ,huku nyumba 42 wakazi wake wakigoma baadhi ya wananchi hao wamemuomba waziri wa ardhi kuingilia kati ili kupata stahiki zao kwa madai ya kupatiwa malipo kidogo.
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top