Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

M/kiti wa UVCCM azuiwa kuingia ofisini, atuhumiwa kughushi nyaraka za Usalama wa Taifa

TANGAZO 1
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mpinduzi (UVCCM) mkoani Arusha amezuiwa kuingia ofisini leo asubuhi na baadhi ya makada wa chama hicho kufuatia tuhuma zinazomkabili za kughushi nyaraka za Usalama wa Taifa na kufanyia utapeli.
Makada wa chama hicho walifunga ofisi hizo mapema leo alfajiri wakisema kuwa mwenyekiti huyo, Lengai Ole Sabaya hana hadhi tena ya kuwa mwenyekiti wa umoja huo mkoani Arusha baada ya kughushi nyaraka za Idara ya Usalama wa Taifa kufanya utapeli.
 
Lengai Ole Sabaya, Mwenyekiti wa UVCCM Arusha.
Baadhi ya makada ambao ni watiifu kwa mwenyekiti huyo wameonekana wakimsaidia aweze kuingia ofisini wakijitahidi kuwaondoa waliokuwa wakimzuia bila mafanikio.
Tazama video hapa chini ya mvutano ulivyokuwa.TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top