Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Makonda kuhusu agizo alilodaiwa kulitoa la wakamatwe wanaolala Guest

TANGAZO 1
Hivi karibuni kumekuwa na headlines zinazomuhusisha Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuhusu kutoa agizo la wanaolala kwenye nyumba za wageni wakamatwe hasa nyakati za mchana.
Sasa millardayo.com & Ayo TV imempata RC Paul Makonda na kuyaongea haya>>>>Hili suala mimi nimelisikia moja aliyetoa maelezo anasema nina umbea maana yake kwanza ni mmbea, Serikali haijawahi kufanya kazi kwa namna hii na wala hakuna maelekezo ya namna hiyo’
Lakini la pili kufahamu ambalo ni jambo jema ni kwamba kabla ya kufanya maamuzi ya kuandika habari au kutangaza habari ni vema pia ukaonana na mamlaka husika anasema Polisi maana yake lazima kamanda Sirro aulizwe na atoe taarifa Je ni kweli kuna taarifa kama hizo’
‘Ukweli ni kwamba hakuna maelekezo ya namna hiyo, wapo watu wanatoka maeneo mbalimbali wanakuja Dar es Salaam katika nyumba za wageni kupumzika, wapo watu wanaingia usiku wa manene na ndio maana kukawa na nyumba za wageni ‘
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top