TANGAZO 1

Mfalme wa muziki wa taarabu mzee Yusuph maarufu kama "mfalme wa taarabu"
amefunguka na kusema kuwa sasa ameamua kuachana na muziki huo na
kumrudia Mungu huku akiwataka watanzania pia kumrudia Mungu.
Akiongea jana baada ya kumaliza swala ya Ijumaa kweneye msikiti wa Ilala
Bungoni (Masjdi Taqwa) Mzee Yusuph alisema kwa taarifa za awali
watanzania wanatakiwa kutambua kuwa yeye ameachana na muziki na sasa
amemrudia Mungu na kuwataka kuwa na subira kwani atatafuta siku maalum
yeye kutangaza suala hilo ambapo atafunguka kwa kirefu zaidi kwanini
ameamua kufanya maamuzi hayo.
"Ni kweli nimeamua kuachana na muziki na sasa nimemrudia Mungu, nawaomba
watanzania wengine pia wamrudie Mungu, nitatafuta siku ambayo nitaongea
kwa kirefu zaidi juu ya suala hili, hivyo watanzania watambue tu
nimeachana na muziki sasa" alisema Mzee Yusuph.
Hii ni mara ya pili kwa mzee Yusuph kutangaza kuacha muziki kwa mara ya
kwanza ilikuwa mwaka jana, alitangaza kuacha muziki na kuingia kwenye
siasa lakini hakuweza kufanya vizuri kwenye siasa na kurudi tena kwenye
muziki.
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
Post a Comment