Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Dully Sykes Amtetea Harmonize Kumuiga Diamond

TANGAZO 1
Akizungumza kwenye Friday Night Live ya EATV, Dully Sykes alianza kwa kutetea kuwa hawafanani lakini baadae akaja kubadilisha upepo,na kusema Harmonize ana kila sababu ya kufanana na Diamond, kwani wasanii hao ni kama ndugu, hivyo sio kitu kibaya wakifanana kwenye baadhi ya mambo.
“Wana tofauti kwa sababu huyu hajazaliwa na koo la Diamond, kitu wanachomfanya wamfananishe na Diamond, hata mimi ukikaa na mtu sana utafanana nae kwa namna moja au nyingine, huyu Diamond ni kaka yake, anaishi na diamond anakaa na diamond, muache afanane nae”, alisikika Dully Sykes akimtetea Harmonize.
Hivi karibuni msanii huyo ameshushiwa tuhuma za kufanana au kuiga kama mashabiki walivyodai, kutoka kwa msanii Diamond Plutnumz, kuanzia anavyoimba mpaka mitindo ya kucheza.
Kwa upande wake Harmonize amekanusha kumuiga Diamond, kwani yeye hawezi kuwa kama Diomond.
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top