Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Jibu la Diamond Platnumz kama amewahi kum cheat Zari,Lisome hapa..

TANGAZO 1
Kumekuwa na tetesi nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii kwamba huenda nyota wa muziki wa bongo fleva,Diamond Platnumz anam ‘cheat’ mpenzi wake Zari the boss lady kutokana na mpenzi wake huyo mwenyeji wa Uganda kutokwepo nchini mara kwa mara.
Akijibu Swali aliloulizwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa,Diamond alikana tuhuma za kumsaliti mpenzi wake huyo ambaye tayari ameshazaa naye mtoto mmoja,Latifah.Kuhusu mpenzi wake kutokuwepo nchini mara kwa mara Diamond amesema kwake ni kama bahati kwani imemfanya akutane naye kila mara akienda Afrika Kusini ambapo kuna makazi ya mpenzi wake.
Mimi sijawahi kum cheat zari,unajua kila kitu mwenyezi Mungu anapanga usikute sijapangiwa bado.Unajua mimi na Zari tunaonana mara kwa mara kwa sababu ninasafiri sana,huwa nawaambia watu huenda zari angekuwa Tanzania asingekuwa anapata muda na mimi kwa sababu mimi naenda south mara nyingi kwa shughuli za kikazi kwa hiyo hata angekuwa Tanzania mambo yangekuwa yale yale.” alifunguka Diamond ambaye hivi karibuni kumwekuwa na uvumi kuwa anatoka kimapenzi na Hamisa Mobeto.
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top