TANGAZO 1
Pichani chini ni baadhi ya wananchi wakiweka masalia ya Kichwa cha Mtoto, Nasra Mkinze mwanafunzi wa Darasa la Pili, ambapo haikufahamika mara moja jina la shule hiyo, baada ya kugongwa na Gari la Mwendokasi T 953 DGV kwa kile kinacho daiwa chanzo ni Mwendesha Bodaboda MC 351 AWX kutaka kuwahi mataa ya Shekilango Dar es Salaam mchana huu na ndipo Dereva huyo wa mwendokasi kuruhusiwa na kumgonga akiwa amembeba Shemeji yake na mtoto (akimwita baba mdogo) dereva wa Bodaboda walipokua wakienda mkoani Morogoro kwenye arobaini . (PICHA NA KHAMISI MUSSA )
Msamaria Mwema akiweka ndani ya Gari la Polisi mwili wa mtoto Nasra Mkinze mwanafunzi wa Darasa la Pili,
Wananchi wakiwa wamelizingira Gari la Mwendokasi.
Askari wa Usalama Barabarani akizungumza na wananchi eneo la tukio na Pikipiki iliyosababisha ajali hiyo ikiwa imezungukwa TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
Post a Comment