Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

VIDEO: Baada ya Prof. Lipumba kuvuliwa uanachama, CUF wamemtaja wa sasa

TANGAZO 1
September 15 2016 Chama cha wananchi CUF  kimekutana na waandishi wa habari Dodoma na kumtaka msajili wa vyama vya siasa nchini asitumike kukiyumbisha chama hicho kwa madai baadhi ya vyama vinatumia ofisi yakekuwavua uanachama ikiwa ni pamoja na madai ya aliyekuwa mwenyekiti wao Profesa Ibrahim Lipumba kutaka kutaka kurudi katiaka nafasi hiyo.
Mwenyekiti  wa CUF bungeni Riziki Mngwali amesema…’Baraza kuu CUF liliwavua uanachama wanachama kadhaa akiwemo Prof Lipumba na kuwaandikia barua, tunaunga mkono hatua hiyo ya kinidhamu 
Lakini pia tuna taarifa za Prof Lipumba kupeleka malalamiko yake kwa msajili wa vyama vya siasa akijitangaza kuwa yeye ni M/kiti halali wa CUF‘ –Riziki Mngwali
Ifahamike kuwa sisi CUF hatumtambui Prof Lipumba kuwa mwenyekiti wetu na kwasasa chama kinaongozwa na chama taifa chini ya Julius Mtatiro‘ –Riziki Mngwali
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top