Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

U-HEARD! Man Fongo kwenye BIFU ZITO na Mama Wema Sepetu.

TANGAZO 1
Weekend hii msanii anayefanya muziki wa Kisingeli Man Fongo yamemkuta makubwa baada ya kuchangia mada katika malalamiko ya mwanamuziki Christian Bella yaliomuhusisha mwanadada Wema Sepetu na rafikiye Muna.
Ilichukua muda mchache tu baada ya kitendo hicho cha kuchangia mada hiyo na kupokea meseji nzito kutoka kwa mama mzazi wa mwanadada Wema Sepetu na kupokea kitisho kikali kikiashiria maneno aliyoyaongea yamekwisha mfikia mama huyo.
Kwa mujibu wa Man Fongo anasema kwamba ni msanii mwenzake ambaye naye anafanya muziki wa Singeli Sholo Mwamba ndiye aliye mfikishia maneno hayo mama huyo kwasababu msanii huyo yeye ni timu Wema.
Ni mapovu sio ya polepole ambayo yamemtoka Mama Wema na kuonyesha BIFU hilo sio la pole pole. Ubuyu wote nimekuwekea hapa kwenye hii video. ItazamTANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top