TANGAZO 1
Wahaya uamini watawala huja na bahati au balaa (mikosi)::
Ikiwa mtawala au Omukama kama anavyojulikana lugha yao akifuatiwa na ukame, nzige, majanga ya magonjwa huchukuliwa kama kiongozi mwenye mkosi au balaa kwa watu wake na enzi hizo walikuwa wanatambikia (okutelekelela) ili kuomba mizimu kupunguza ipunguze mbinyo baada ya kumchukia mtawala.
Ikiwa mtawala au Omukama kama anavyojulikana lugha yao akifuatiwa na ukame, nzige, majanga ya magonjwa huchukuliwa kama kiongozi mwenye mkosi au balaa kwa watu wake na enzi hizo walikuwa wanatambikia (okutelekelela) ili kuomba mizimu kupunguza ipunguze mbinyo baada ya kumchukia mtawala.
Kinyume chake ni mtawala (Omukama) anayekuja na mvua
hufuatiwa na chakula tele (Omwelo) na watu hufurahi na kumuona mtawala
aliyekuja na baraka. Mkapa angekuwa anaishi Kagera angepata shida sana
baada ya ajari ya Mv Bukoba. Zilitungwa nyimbo na za kimila kulaani
ajari (MV Bukoba ekitaliwa igamba).
Baada ya tetemeko la jana kutafuatiwa na imani za
wanakagera kuchukua nafasi yake. Wanasema haijawahi kitokea tetemeko la
namna ile katika historia ya mkoa huo. Watu wamekufa, majengo
yameporomoka, barabara zimepasuka, majeruhi ni wengi. Imetonesha majanga
ya Mv Bukoba, na ugonjwa wa Ukimwi vilivyourudisha nyuma mkoa huo kwa
kiasi kikubwa. Swali ni je itamuunganisha 'mkulu' anayechukuliwa kama
mwenyeji wa mkoa huo kwani Chato ilitengwa toka mkoa wa Kagera.
By mpk
Source: JF
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
Post a Comment