Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

SHILOLE KIUNO AJUTA KUFANYA VIDEO YA RAYMOND"NATAFUTA KIKI"

TANGAZO 1
Msanii wa muziki, Shilole ameweka wazi jinsi alivyopata wakati mgumu kuicheza scenes ya mahaba katika video ya wimbo ‘Natafuta Kiki’ ya Raymond.Scenes hiyo inamuonyesha muimbaji huyo wakati akishikwa shikwa na baadae kupigwa denda.
Muimbaji huyo amesema alilazimika kunywa pombe ili aweze kuicheza scenes hiyo ya mahaba.“By the way it was very very bad kwangu, ikanibidi ninywe whiskey kidogo ili niweze kuchangamka,” Shilole alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV Alhamisi hii.Video ya wimbo huo wameonekana mastaa mbalimbali akiwemo Wema Sepetu, Harmonize, Chege, Mose Iyobo, Snura pamoja na Faza Kessy.TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top