Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

PICHA 2: Hans Poppe kampa zawadi ya gari nyota wa Simba

TANGAZO 1
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba Zacharia Hans Poppe leo Septemba 12 2016 ametimiza ahadi yake aliyoitoa kwa beki wa pembeni wa klabu ya Simba Mohammed Hussein ambaye wengi wamemzoea kwa jina la Tshabalala.

Hans Poppe alipomkabidhi kadi ya gari mchezaji huyo
Hans Poppe ambaye amemkabidhi zawadi ya gari aina ya Toyota Raum   beki huyo, ametimiza ahadi aliyoitoa kwa nyota huyo, baada ya kufanya vizuri msimu uliopita kama alivyomuahidi.
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top