TANGAZO 1
Kwa miaka zaidi ya 250 iliyopita,
iliaminika kuwa kuna jamii moja tu ya twiga. Lakini uchunguzi uliofanywa
na wataalamu umebatilisha mtazamo huo baada ya kubainika kuwa kuna
jamii aina nne za twiga.
Ugunduzi huo ulichapishwa katika jarida la Current Biology la
wiki hii likihimiza uchunguzi wa zaidi katika jamii hizo nne za twiga
zilizogunduliwa kwa mujibu wa Giraffe Conservation Foundation ambao
walishiriki kwenye uchuguzi huo.
Hadi sasa, mnyama huyo mrefu zaidi
duniani alikuwa akiweka katika jamii (species) inayofahamika kitaalamu
kama Giraffa camelopardalis.
Ugunduzi mpya unawaweka katika jamii nne ambazo ni
- Northern giraffe
- Southern giraffe
- Reticulated giraffe na
- Masai giraffe.
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3

Post a Comment