Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

HEKAHEKA: Jamaa katapeli, katumia njia ya msiba, kahakikisha mpaka kaburi limechimbwa

TANGAZO 1
September  7 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib amekutana na hii iliyotokea Mburahati Dar es salaam ambapo Jamaa aliyewahi kutapeli msikitini mwezi wa Ramadhani akidai kutaka kufuturisha.
Sasa jana September 7 2016 kaenda tena maeneo ya Mburahati ambapo ameefanya utapeli wa aina yake kwa kuwachimbisha watu kaburi na kuwaibia simu na kutokomea, kama hukupata nafasi ya kuisikiliza usijali millardayo.com imekurekodia full stori kutoka kwenye Hekaheka ya leo.
Moja ya mama waliotapeliwa matofali ya kujengea kaburi anasema……>>>aliomba simu yangu wakati vijana wanapeleka matofali akaenda, akongea kuulizia kuhusu mpishi, akawa anauliza fundi mzuri tunampata wapi, akasema ngoja nimwangalie kuna kijana yuko hapa nyuma akaondoka na simu sikuwa na wasiwasi kwa sababu kuna kijana alikuja naye
>>>vijana wangu walirudi kuchukua trip nyingine ya tofauli wakaniambia umeshachukua hela nikasema bado wakasema chukua kwanza hela, namsubiri hakutokea, nikachukua simu nyingine nikapiga simu yangu haipatikani, nikamuuliza yule mwenzie akasema mimi nilikutana naye njiani akaniuliza tofali nzuri nikaja naye
Unaambiwa katapeli mwenye bodaboda, mwenye gari lililokuwa linachukua tofali, mama muuza chai, muuza nyama na mcheleTANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top