Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

CHADEMA watuma salamu Kwa Jeshi la Polisi kuwa waamue "kusuka au Kunyoa"

TANGAZO 1
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),kimelitaka jeshi la polisi kuwaachia au kuwapeleka mahakamani watu 10 wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa chama hicho.

Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu amewaambia wanahabari leo kuwa watu hao walikamatwa katika mikoa mbalimbali ukiwamo wa Songwe kwa kosa la kuandika na kusambaza maneno yasiyomfaa Rais John Magufuli.

Lissu amesema watu wapo mahabusu za Polisi Kanda Maalumu na Osterbay takriban wiki zaidi ya mbili jambo ambao ni kinyume cha sheria za nchi na kwamba wanapewa mateso.

"Nimekwenda kuonana nao na wamenieleza madhara wanayoyapata kutoka kwa polisi,"amesema Lissu.
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top