Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Man Fongo asema hapendi mahusiano ya kimapenzi na wanawake maarufu,atoa sababu

TANGAZO 1
Mwimbaji maarufu wa singeli nchini,Man Fongo ambaye anatamba na wimbo wake wa hainaga ushemeji amefunguka na kusema kuwa hapendi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanawake maarufu.
Msanii huyo alisema hayo baada ya kuulizwa kwenye kipindi cha The Base cha ITV kama kuna msanii yeyote wa kike ambaye anatamani kutoka naye kimapenzi.
Katika ndoto zangu mimi,napenda kuwa na mtu wa kawaida ambaye sio super staa,ndio maana nikaamua kuoa mapema” alisema Man Fongo alipoulizwa kama kuna msanii yeyote anayetamani kutoka nae kimapenzi.TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top