TANGAZO 1
Wanaume
ambao wamekuwa wakitumia kinyaji hiki wameripotiwa wakiwa na maumbile
ya kiume yenye nguvu zaidi kuliko wasiotumia,tumia kinywaji hiki uone
mabadiliko makubwa katika maisha yako ya kimapenzi piaKikombe chako cha kila siku cha" kahawa" kinaweza kukusaidiai sana kwa njia moja au nyingine.Ndani ya kahawa kuna kemikali ya asili inayoitwa "Caffeine" inaweza ikakupunguzia tatizo lako kwa kiasi kikubwa sana.Wamependekeza wasomi wakubwa kutoka chuo kikuuu cha Texas nchini Marekani kinachoshughulikia maswala ya Afya.
Wachunguzi wamegundua kuwa,wanaume walio zaidi ya umri wa miaka 20 wanaotumia vikombe vipatavyo 2 mpaka 3 vya kahawa walikuwa hawana matatizo au wanamatatizo kidogo yanayosiana na nguvu za kiume kuliko wale wasiotumia kabisa.
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya upungufu wa nguvu za kiume na uzito uliopitiliza ,anasema msomi wa chuo kikuu David Lopez, Dr.P.H., M.P.H.Kwa hiyo utumiaji wa kahawa unaweza kuathiri makundi mbalimbali ya wanaume kutokana na uzito wao,kwa hiyo matokeo mazuri ya utumiaji wakahawa katika maendeleo mazuri ya mapenzi yanategemea kwa kiasi kikubwa sana uzito wako.Kwa maana nyingine punguza kwanza uzito wako kisha tumia kahawa kwa usahihi utaona matokeo mazuri
Caffeine ambayo inapatikana kwenye kahawa inafanana kwa kiasi kikubwa na ile inayopatikana katika madawa ya kizungu ya kuongeza nguvu za kiume anasema mhariri mwenza Run Wang, M.D. Kinyaji hicho huamsha hisia mbalimbali za mishipa ya damu katika uume wako ambayo huifanya iweze kurelax na damu yako kuweza kutembea kwa kasi katika mishipa yako ya damu.Na damu ikiwa inatembea kwa kasi kwenye mwili wako ndio chanzo cha wewe kuwa na uume wenye nguvuTANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
Post a Comment