Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KIJANA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUNGA NDOA,ALIJUA ATAKUFA NDANI YA SIKU TANO

TANGAZO 1

Kijana mmoja barubaru alimuoa mpenzi wake siku tatu tu kabla yake kuaga dunia kutokana na Saratani ya damu lukaemia.


Omar Al Shaikh alimuoa mpenzi wake Amie Cresswell, wote wenye umri wa miaka 16, katika wadi ya hospitali kuu ya Malkia Elizabeth ilioko Birmingham Uingereza.

Omar, aliaga dunia Jumatatu hii siku tatu tu baada ya kufunga pingu za maisha na Amie.

Omar aliaga dunia baada ya kukosa mtu ambaye damu yake inayoingiana na yake.

Omar alimchumbia Amie baada ya kufahamishwa na madaktari kuwa alikuwa na siku 5 tu za kuishi.

Mamake bi Mirabela anasema kuwa alijizatiti hadi siku yake ya mwisho.

''amejikaza sana na kupanga kila kitu alichotaka kifanyike''alisema mamake.

"alitaka sana kumuoa Amie,alikuwa akinieleza kuwa angefurahia sana akisimama mbele ya haki na kumweleza mwenyezi mungu kuwa Amie alikuwa ni mkewe''

Shangazi yake Anca Dumitriu alisema "Ilikuwa ni siku nzuri sana kwani wote walifurahia sana''

Omar alimwambia Amie ''Wewe ni mke wangu sasa''

Mwanajeshi huyo mtarajiwa Omar, aligunduliwa kuwa anaugua Lukemia baada ya kuanguka na kuzirai alipokuwa akicheza mpira.

Kutokana na asili yake ya Kirumi na Kiarabu ilikuwa vigumu sana kupata mtu mwenye chembechembe zitakazoingiana.

Mamake alisema tangu afahamishwe kuhusu kuzoroteka kwa hali yake ya siha mapema mwezi huu Omar amejitahidi kuwa mchangamfu hadi alipoaga dunia.

''Aliaga dunia usingizini''
TANGAZO 2
KUTIZAMA PICHA ZAKE NA VIDEO ZAKE ALIZO PIGA AKIWA UCHI NI RAHISI BONYZA HPA CH1NI
TANGAZO 3
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SUKARI GURU
Back To Top